Ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu 217 walioshiriki 
katika Kitendawili cha Kolonia Santita (KKS) tangu kilipotangazwa hapo Julai 8, 
2013. Jibu la KKS limetangazwa leo tarehe 8/1/2014 saa nane kamili mchana; 
lakini kwa bahati mbaya hakuna Enomania hata mmoja aliyepata jibu, katika 
kiwango kilichotakiwa na masharti ya kitendawili, yaani kuanzia asilimia 90 
mpaka asilimia 100. Wengi wamepata kuanzia asilimia 85 na kurudi chini mpaka 
asilimia 10. Huu ndiyo mwisho wa Kitendawili cha Kolonia Santita. Falsafa za 
Kolonia Santita zitaendelea mpaka mwaka 2015.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 
Thanx Enock, nimeridhika na matokeo hope tutapata kitendawili kingine kana hicho in the future
ReplyDelete