Nimekamilisha usajili wa Kolonia Santita katika idara mbalimbali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; kama vile BASATA, COSOTA, COSTEC, Maktaba ya Kihistoria ya Makumbusho ya Taifa, Maktaba Kuu ya Taifa, na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, kwa ajili ya utafiti na vizazi vijavyo.
Wasilisha nakala ya kazi yako kwa mujibu wa sheria. Taifa ni mataifa. Ukitambuliwa na taifa utatambulika kimataifa.
Kabla hawajakupiga kwa sheria wapige kwa kujisajili.
No comments:
Post a Comment