Monday 19 March 2018

Mke Tu Mtu Unahama, Ije Iwe Chama?

269. Mke tu mtu unahama, ije iwe chama? Na mke ulichagua mwenyewe, hukuchaguliwa na wananchi.

Vivyo hivyo: mume tu mtu unahama, ije iwe chama? Na mume ulichagua mwenyewe, hukuchaguliwa na wananchi.

Kuhama chama ni haki ya mtu ya msingi kabisa ya kidemokrasia. Lakini kumbuka, kuvunja mkataba lazima ulipe.

No comments:

Post a Comment

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...