269. Mke tu mtu unahama, ije iwe chama? Na mke ulichagua mwenyewe, hukuchaguliwa na wananchi.
Vivyo hivyo: mume tu mtu unahama, ije iwe chama? Na mume ulichagua mwenyewe, hukuchaguliwa na wananchi.
Kuhama chama ni haki ya mtu ya msingi kabisa ya kidemokrasia. Lakini kumbuka, kuvunja mkataba lazima ulipe.
No comments:
Post a Comment