270. Watanzania wana tabia ya kumwomba Mungu badala ya kumshukuru.
Kama Watanzania wamelaaniwa wamejilaani wenyewe. Wana tabia ya kumwomba Mungu lakini hawana tabia ya kumshukuru, baada ya kupata au kukosa.
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
No comments:
Post a Comment