271. Ukishakuwa mtawala wa kitaifa umeua! Ama kwa kujua au kutokujua! Ama kwa kupenda au kutokupenda!
Taifa ni malaika! Taifa ni Shetani! Laana ya mwenye haki ina haki.
Taifa kama lina haki, mwananchi kama ana haki, laana yake ina haki. Lakini kama taifa halina haki, mwananchi hana haki, vilevile laana yake haitakuwa na haki.
Mtawala wa kitaifa anaweza kufanya maamuzi mazito yanayoweza kuleta madhara makubwa anayoyajua au asiyoyajua.
Wananchi (na watawala) wanapaswa kutumia busara na hekima kuyakubali au kuyakataa maamuzi ya viongozi wao, na wawe na hofu ya Mungu, yawe mema au mabaya.
Vilevile, kila mtu, mtawala au mwananchi wa kawaida, anapaswa kuwa na busara na hekima juu ya maamuzi yake. Maamuzi yoyote yale yanaweza kuwa na madhara makubwa kwa mwananchi au taifa.
Monday, 2 April 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...
No comments:
Post a Comment