Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mh. Jacob Kassema naye amejipatia 
nakala yake ya Kolonia Santita leo katika duka la vitabu la Soma Book 
Café, pamoja na Lilian Soma wa Soma. Mheshimiwa huyu ni mdau mkubwa wa 
Kolonia Santita toka miaka ya tisini, hata kabla hakijachapishwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 


No comments:
Post a Comment