Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mh. Jacob Kassema naye amejipatia
nakala yake ya Kolonia Santita leo katika duka la vitabu la Soma Book
Café, pamoja na Lilian Soma wa Soma. Mheshimiwa huyu ni mdau mkubwa wa
Kolonia Santita toka miaka ya tisini, hata kabla hakijachapishwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...


No comments:
Post a Comment