D'Angleterre. Hoteli ya kimataifa daraja la kwanza, ‘The grand old of
the city’, nyota tano, katika kona ya mitaa ya Østergade na Kongens
Nytorv katikati ya Copenhagen, mkabala na duka kubwa la kujihudumia
mwenyewe la Magasin du Nord, Radia Hosni, mpelelezi wa Tume ya Dunia
kutoka Tunisia alipofikia.
Hoteli ya D’Angletere, karibu na sanamu
la farasi la Mfalme Christian wa Nne na mkabala na duka la Magasin,
katikati ya geti la mashariki la Copenhagen na Bandari ya Nyhavn, ndipo
Tume ya Dunia ilipoandaa malazi ya siri ya mpelelezi wake mashuhuri
Radia Hosni. Lakini, ndani ya saa moja tu, Kolonia Santita wakajua Hosni
alipokuwa; na kuandaa njama kamambe za kumuua usiku huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...
-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
No comments:
Post a Comment