Wednesday, 14 December 2016
Single Letters and Commas Matter
Nimeandika kurasa zote 406 za kitabu changu kwa maneno ya Kiswahili. 
Hata majina ya nchi yameandikwa kwa Kiswahili. Badala ya ‘Nigeria’, kwa 
mfano, nimeandika ‘Nijeria’. Hivyo ndivyo ilivyoandikwa katika kamusi ya
 Kiswahili. Hii inaweza kuonekana kama mimi ni mchunguzi sana wa mambo, 
na kwamba watu wanaweza kuona harakati zangu kama jambo la mzaha! Hata 
hivyo, kila herufi na koma ina maana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Hata kama kinatamkika vibaya ni cha kwetu!
ReplyDelete