Wednesday, 14 December 2016
Single Letters and Commas Matter
Nimeandika kurasa zote 406 za kitabu changu kwa maneno ya Kiswahili.
Hata majina ya nchi yameandikwa kwa Kiswahili. Badala ya ‘Nigeria’, kwa
mfano, nimeandika ‘Nijeria’. Hivyo ndivyo ilivyoandikwa katika kamusi ya
Kiswahili. Hii inaweza kuonekana kama mimi ni mchunguzi sana wa mambo,
na kwamba watu wanaweza kuona harakati zangu kama jambo la mzaha! Hata
hivyo, kila herufi na koma ina maana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Siku ya kuzaliwa ni siku ya kwanza ya safari nyingine ya siku 365, saa 5, dakika 48, sekunde 46 na maili milioni 600 kulizunguka jua. Safi...
Hata kama kinatamkika vibaya ni cha kwetu!
ReplyDelete