Saturday, 17 December 2016
Halafa Hailipi
Halafa maana yake ni uhalifu. Kwa hiyo uhalifu haulipi. Utakamatwa.
Utapelekwa jela au utalipa faini au utapelekwa jela na utalipa faini.
Katika nchi zilizoendelea (kwa mfano Uingereza) matukio ya kipolisi
hupewa kipaumbele kikubwa katika vyombo vya habari kwa makusudi kabisa,
kwa ajili ya kuwakumbusha watu kuwa halafa hailipi. Kufanya kosa huku
ukijua ni kosa ni kujiombea jela mwenyewe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Siku ya kuzaliwa ni siku ya kwanza ya safari nyingine ya siku 365, saa 5, dakika 48, sekunde 46 na maili milioni 600 kulizunguka jua. Safi...
“Siku za mwizi ni arobaini,” wahenga walisema.
ReplyDelete