Friday, 4 November 2016
Bibi
Leo ni siku ya kumbukumbu ya giza lililoingia katika familia ya Enock
Maregesi. Tarehe 4/11/14 ni siku nuru ya mwanga wa maisha ya nyanya
yangu mpenzi Bi Martha Maregesi ilipozimika huko Musoma. Leo ni miaka
miwili ametimiza akiwa kimya kabisa! Sikisikii tena kicheko chake wala
siisikii tena hekima yake! Familia yake inamkumbuka sana. Palipokuwa
kwake ni nyumbani kwetu. Hatuwezi kusahau upendo wake na umuhimu wake
kwetu. Tulimpenda sana, lakini Mungu wa mbinguni alimpenda zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...

Amina.
ReplyDelete