Rais wa Tume ya Dunia hakuchaguliwa kupata sifa ya madaraka na hivyo
kunyanyasa na kudharau watu kwa sababu ya madaraka yake, bali
alichaguliwa kuleta mabadiliko katika dunia kama Rais wa Tume ya Dunia
kutetea afya na amani ya dunia nzima kwa unyenyekevu na heshima kwa
binadamu wenzake.
Kiongozi wa wananchi au wa serikali hapaswi kuchaguliwa au kuteuliwa
kwa ajili ya kupata sifa ya madaraka na hivyo kunyanyasa na kudharau
watu kwa sababu ya madaraka yake, anapaswa kuchaguliwa au kuteuliwa kwa
ajili ya kuleta mabadiliko katika nchi kama kiongozi wa dhima
aliyokabidhiwa kwa unyenyekevu na heshima kwa wananchi wenzake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...

Rais wa Tume ya Dunia hakuchaguliwa kupata cheo katika tume. Alichaguliwa kuleta mabadiliko katika dunia kama Rais wa Tume ya Dunia.
ReplyDelete