Kutoka kushoto: Dkt Lizzy Attree, Enock Maregesi, Ruth Wangari (mhariri
wa Kiswahili wa Kampuni ya Uchapishaji wa Vitabu ya EAEP ya Kenya),
Profesa Abdilatif Abdalla (mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Uandishi wa
Vitabu ya Jomo Kenyatta 1974), Anna Samwel Manyanza, Profesa Mukoma wa
Ngugi. Kampuni ya Uchapishaji wa Vitabu ya East African Educational
Publishers Limited (EAEP) itachapisha miswada ya KOLONIA SANTITA na
PENZI LA DAMU kama vitabu ifikapo mwezi wa Agosti 2016 – kabla ya
kutangazwa kwa washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi
ya Kiafrika 2016 popote tutakapotangaziwa. EAEP watachapisha vitabu
hivyo katika ubora wa kimataifa.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com
Friday, 18 December 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...
No comments:
Post a Comment