Kutoka kushoto: Dkt Lizzy Attree, Enock Maregesi, Ruth Wangari (mhariri 
wa Kiswahili wa Kampuni ya Uchapishaji wa Vitabu ya EAEP ya Kenya), 
Profesa Abdilatif Abdalla (mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Uandishi wa 
Vitabu ya Jomo Kenyatta 1974), Anna Samwel Manyanza, Profesa Mukoma wa 
Ngugi. Kampuni ya Uchapishaji wa Vitabu ya East African Educational 
Publishers Limited (EAEP) itachapisha miswada ya KOLONIA SANTITA na 
PENZI LA DAMU kama vitabu ifikapo mwezi wa Agosti 2016 – kabla ya 
kutangazwa kwa washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi
 ya Kiafrika 2016 popote tutakapotangaziwa. EAEP watachapisha vitabu 
hivyo katika ubora wa kimataifa.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com  
Friday, 18 December 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

No comments:
Post a Comment