Mimi, Profesa Ken Walibora na Profesa Mukoma wa Ngugi (mtoto wa Profesa
Ngugi wa Thiong’o wa Kenya) baada ya mimi na Mukoma kuhojiwa na Ken
kuhusiana na Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Kiafrika,
katika Hoteli ya Serena Nairobi. Mukoma wa Ngugi ni profesa wa
Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cornell cha New York nchini Marekani.
Yeye na Dkt Lizzy Attree (mkurugenzi wa tuzo ya juu zaidi kati ya tuzo
zote za uandishi wa vitabu barani Afrika ya Caine) ndiyo waanzilishi wa
Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Kiafrika iliyoanzishwa
huko Nijeria mwaka 2014.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
-
120. Wakati mwingine tukitaka kutambulika hatuna budi kuweka mbele aibu ya heshima yetu. http://www.enockmaregesi.wordpress.com
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
No comments:
Post a Comment