Kutoka kushoto: Mhariri wa Lugha wa Kampuni ya Uchapishaji wa Vitabu ya
EAEP ya Kenya Lucas Wafula, Dkt Lizzy Attree, Enock Maregesi, Anna
Samwel Manyanza, Profesa Abdilatif Abdalla, nguli wa utangazaji wa KBC
na Rais wa PEN Kenya Khainga O’Okwemba, Profesa Mukoma wa Ngugi; baada
ya sisi sote kuhojiwa na Khainga katika kipindi cha Books Café cha KBC,
chenye wasikilizaji zaidi ya milioni tano duniani kote.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com
Saturday, 19 December 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
-
120. Wakati mwingine tukitaka kutambulika hatuna budi kuweka mbele aibu ya heshima yetu. http://www.enockmaregesi.wordpress.com
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
No comments:
Post a Comment