Makao Makuu ya Kanda ya Afrika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya WODEC-TUNIS; yenye jumla ya nchi thelathini na moja za kaskazini na magharibi mwa bara la Afrika, kuanzia Eritirea mpaka Nijeria mpaka Tunisia – isipokuwa Moroko, ambayo iko katika kanda ya Ulaya.
http://www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...

No comments:
Post a Comment