Kitendawili cha kwanza katika kitabu cha KOLONIA SANTITA – kinachotabiri matukio makubwa ya mwisho ya hadithi ya KOLONIA SANTITA – kilifanyika katika Barabara ya Ghana na Hoteli ya Silver Sands mjini Dar es Salaam; kwenye Ufuko wa Bahari wa Kunduchi, kilometa ishirini na tano kutoka Dar es Salaam, kama unaelekea Bagamoyo.
http://www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...

Kusema kweli hicho ni kitendawili kikubwa..kwan hata Sophia na Johanna hakujua nini Murphy na wenzake walikua wakipanga kufanya.Ni kitendawili hata kwa wasomaji pia
ReplyDelete