Kitendawili cha kwanza katika kitabu cha KOLONIA SANTITA – kinachotabiri matukio makubwa ya mwisho ya hadithi ya KOLONIA SANTITA – kilifanyika katika Barabara ya Ghana na Hoteli ya Silver Sands mjini Dar es Salaam; kwenye Ufuko wa Bahari wa Kunduchi, kilometa ishirini na tano kutoka Dar es Salaam, kama unaelekea Bagamoyo.
http://www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...

Kusema kweli hicho ni kitendawili kikubwa..kwan hata Sophia na Johanna hakujua nini Murphy na wenzake walikua wakipanga kufanya.Ni kitendawili hata kwa wasomaji pia
ReplyDelete