Uyoga wa Kichawi,
Uyoga wa Kichawi ni madawa ya kulevya yenye alkaloidi za kiindole, yaliyoanza kutumika katika kipindi cha kabla ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo Mwana wa Mungu (miaka 9,000 Kabla ya Yesu Kristo), yaliyokuwa yakitumika katika matambiko ya kifalme na kidini hata kabla ya kuandikwa kwa historia, yanayosababisha furaha iliyochanganyikana na uwendawazimu.
http://www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Hivi, uyoga wa kichawi na uyoga wa kawaida tofauti yake nini, watu wanaweza kutumia uyoga wan kichawi wakidhani ni uyoga wa kawaida.... pls?
ReplyDeleteUyoga wa kichawi ni adimu sana kupatikana lakin unaweza kuununua kwenye intaneti
ReplyDelete