Monday, 9 September 2013

Maarifa

49. Kuna tofauti kati ya hekima na maarifa. Unaweza kuwa profesa ukawa mpumbavu, unaweza kuwa gumbaru ukawa na hekima.

http/www.facebook.com/koloniasantita

2 comments:

  1. Hekima ni sifa ya kuwa na maarifa na uzoefu na maamuzi mazuri; sifa ya kuwa na busara. Maarifa ni taarifa na ukweli na ujuzi aupatao mtu kupitia elimu au uzoefu; uelewa wa kivitendo au kinadharia wa kitu fulani. Profesa ni mtu aliyesoma sana. Gumbaru ni mtu asiyejua kusoma au kuandika.

    Falsafa ya Maarifa ni kwa watu wote kuanzia gumbaru mpaka ngazi ya stashahada, na wasomi wote kuanzia shahada mpaka ngazi ya uprofesa. Mpumbavu ni mtu anayefanya kitu cha kijinga akijua ni ujinga.

    ReplyDelete
  2. Hekima ndio msingi wa maarifa yote.

    ReplyDelete

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...