14. Acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...

Migogoro inatokea kwa sababu watu wameshindwa kuheshimiana. Ukijiheshimu na ukaheshimu wengine; utaacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta, wakati ukiingia.
ReplyDeleteFalsafa ya Radia Hosni.
ReplyDeleteAmani itapatikana kama kila mmojawetu atajiheshimu na kuheshimu wengine.....Kwa mtindo huo tutaacha dunia kama Mungu alivyotaka iwe - paradiso.
ReplyDeleteIwapo kila mtu atamheshimu mwenzake kama anavyojiheshimu mwenyewe; tunaweza kuishi mbinguni duniani ... lakini kwanza tuwe na maarifa binafsi.
ReplyDeleteNadhani ukiwa na moyo wa kusaidia watu, heshima, mapenzi na imani ya Mungu, utaacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta.
ReplyDeleteBe nice to the planet, people and animals.
ReplyDelete