14. Acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta. 
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Migogoro inatokea kwa sababu watu wameshindwa kuheshimiana. Ukijiheshimu na ukaheshimu wengine; utaacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta, wakati ukiingia.
ReplyDeleteFalsafa ya Radia Hosni.
ReplyDeleteAmani itapatikana kama kila mmojawetu atajiheshimu na kuheshimu wengine.....Kwa mtindo huo tutaacha dunia kama Mungu alivyotaka iwe - paradiso.
ReplyDeleteIwapo kila mtu atamheshimu mwenzake kama anavyojiheshimu mwenyewe; tunaweza kuishi mbinguni duniani ... lakini kwanza tuwe na maarifa binafsi.
ReplyDeleteNadhani ukiwa na moyo wa kusaidia watu, heshima, mapenzi na imani ya Mungu, utaacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta.
ReplyDeleteBe nice to the planet, people and animals.
ReplyDelete