15. Kujiua ni ubinafsi kwa sababu ya watu wanaokupenda.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

John Murphy akitoa wosia kwa mtoto wa Rais wa Meksiko Debbie Patrocinio.
ReplyDeleteBora kutafuta ushauri nasaha kwa psychiatrists kabla ya kujiua. Kila tatizo lina dawa yake.
ReplyDeleteMtu hachagui kujiua; hutokea pale maumivu ya moyo yanapozidi uwezo wa mwili kupambana na matatizo hayo, hivyo ni swala la kisaikolojia na kibailojia zaidi kuliko maamuzi ya mtu binafsi.
ReplyDeleteFamilia ina wajibu wa kuingilia kati haraka inavyowezekana mwanafamilia mwenzao anapokuwa katika njia panda ya maisha. Kushindwa kumzuia mtu kujiua ni sawa na kushiriki kumuua binadamu mwenzako.
ReplyDeleteJapan kujiua ni kitu cha kawaida lakini bado sisupport dhana ya mtu kuchukua maisha yake mwenyewe. My sister took her own life cause she thought dad didn't love her as much as he loved the rest of us all. We're all broken as a result of dat and dad went into a looong depression, that ultimately led to their divorce.
ReplyDeleteI'm sorry for your sister, Melissa! And parents too, for their divorce.
ReplyDeleteNafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto akukaribishe bazarai kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda zaidi kuliko unaowapenda. Anayejiua hujifikiria zaidi yeye kuliko wengine.
ReplyDelete