Friday 15 June 2018

Wachawi Huroga Watu Waliolaaniwa na Mungu

285. Wachawi huroga watu waliolaaniwa na Mungu. Ukijiondoa katika laana ya Mungu maana yake ni kwamba umebarikiwa na Mungu. Hakuna mchawi, yeyote, atakayekuroga ukarogeka.

Kujiondoa katika laana ya Mungu ni kuwa rafiki wa kweli wa msalaba wa Yesu Kristo; na Biblia. Kwani Biblia na msalaba havirogeki. Ukiwa msomaji mzuri wa Biblia utajiepusha na balaa zote za laana ya Mungu; zilizogongomolewa msalabani huko Kalvari, Yesu alipolipa gharama ya maisha yake kutununua kutoka kwa Shetani.

No comments:

Post a Comment

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...