Monday, 19 February 2018

Elimu ni Ufunguo wa Maisha

265. Elimu ni ufunguo wa maisha. Lakini wengine funguo zao zina kutu.

Funguo zikiwa na kutu hazitafungua vizuri makufuri. Wenye funguo zenye kutu ni wababaishaji wa maisha, nami nikiwemo.

No comments:

Post a Comment

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...