265. Elimu ni ufunguo wa maisha. Lakini wengine funguo zao zina kutu.
Funguo zikiwa na kutu hazitafungua vizuri makufuri. Wenye funguo zenye kutu ni wababaishaji wa maisha, nami nikiwemo.
Funguo zikiwa na kutu hazitafungua vizuri makufuri. Wenye funguo zenye kutu ni wababaishaji wa maisha, nami nikiwemo.
No comments:
Post a Comment