260.
 Watu wenye upara wanajidai sana. Wanasema kuwa wana sehemu ndogo sana 
ya kuchana nywele. Lakini hawajui kuwa wana sehemu kubwa sana ya kunawa 
uso. 
Ulichopewa wewe mwenzako amenyimwa na mwenzako alichopewa wewe umenyimwa. Tafadhali, tuheshimiane!
Ulichopewa wewe mwenzako amenyimwa na mwenzako alichopewa wewe umenyimwa. Tafadhali, tuheshimiane!

No comments:
Post a Comment