261. Gari lako likiharibika kisha ukashindwa kulitengeneza si gari. Akili yako ndiyo imeharibika. Tengeneza akili yako.
Kwa nini hatuna hela au muda? Akili zetu zimeharibika. Tengeneza akili yako kutengeneza maisha yako.
Vuka mpaka wa ulimwengu wa nyama na ulimwengu wa roho kupata akili ya kuishi mbinguni ulimwenguni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...

No comments:
Post a Comment