Zaka husaidia kueneza injili duniani kote. Ukitoa zaka umesaidia kueneza injili duniani kote. Toa zaka na mapato yako yatabarikiwa. Usitoe zaka na mapato yako yatalaaniwa.
Tunapaswa kulipa zaka na sadaka kwa maendeleo ya injili ya Yesu Kristo ulimwenguni kote.
Zaka ni njia ya Mungu ya kufadhili injili.
Leo ni siku ya zaka.
ReplyDelete