Panthera
 Tigrisi akimpiga mkwara John Murphy katika kasri la Benson Bennett la 
Salina Cruz, Oaxaca, nchini Meksiko. Badala ya kufumba macho kwa 
kuyakodoa, John Murphy alifumbua macho kwa kuyakodoa. 
 
 Fumba 
macho kwa kuyakodoa ni kutunza siri milele. Ulichokiona usikiseme daima 
maana ukikisema hakika utakufa. Las Vegas ni ofisi ya siri ya Panthera 
Tigrisi, kiongozi wa Kolonia Santita. Kilichofanyika pale kilibakia 
pale. 
Ukiona kitu ambacho hukupaswa kuona, au ukisikia kitu ambacho hukupaswa 
kusikia, fumba macho kwa kuyakodoa! Ulichokiona au kukisikia usikiseme 
leo na hata milele. Jifanye hukuona kitu, hukusikia kitu. Ukifumbua 
macho kwa kuyakodoa utapata matatizo, makubwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Murphy aliambiwa na Panthera Tigrisi afumbe macho kwa kuyakodoa, yeye akafumbua macho kwa kuyakodoa. Fikiria nini kilitokea baada ya hapo.
ReplyDeleteMurphy alikuwa na hasira sana na Panthera Tigrisi (El Tigre) kwa sababu ya Radia. Badala ya Murphy kufumba macho kwa kuyakodoa, Panthera Tigrisi ndiye aliyefumba macho kwa kuyakodoa mwenyewe!
ReplyDelete