122. Tuwape watoto wetu haki yao ya msingi ya kuwa watoto katika siku za
ujana wao, kabla hawajawa watoto tena watakapokuwa wakubwa.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
-
120. Wakati mwingine tukitaka kutambulika hatuna budi kuweka mbele aibu ya heshima yetu. http://www.enockmaregesi.wordpress.com
-
179. Yesu alipokuwa msalabani watu wengi walimzunguka. Askari wa Kirumi aliyekuwa na chongo, na mkuki, alikuwa na jukumu la kumtesa Yesu ...
Watoto hawatakiwi kuchungwa kupita kiasi hasa katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Ukiwanyima watoto uhuru wa kuwa watoto leo watakuwa na uhuru wa kuwa watoto kesho. Uhuru utakaowanyima wakiwa wadogo watakuja kuutafuta baadaye wakiwa wakubwa. Wakiutafuta baadaye wakiwa wakubwa hawataeleweka vizuri katika jamii. Wape watoto uhuru wanaostahili kupata lakini si uhuru wa kila kitu.
ReplyDeleteAngalia kisa cha Marehemu Michael Jackson, aliyekuwa mwanamuziki wa Marekani. Michael Jackson hakupata uhuru wa kuwa mtoto alipokuwa mtoto, badala yake alikuwa mtoto tena alipokuwa mkubwa.
ReplyDeleteUkiwanyima watoto nafasi ya kuwa watoto leo watakuwa watoto kesho.
ReplyDeleteWape watoto uhuru wa mahesabu, lakini si uhuru wa shaghalabaghala.
ReplyDeletehttp://enockmaregesi.blogspot.com/2013/02/watoto.html