Friday, 28 November 2014

Medina

Eneo la kihistoria la mjini Tunis nchini Tunisia linalosifika kwa majengo mengi ya kale na mitaa mingi myembamba iliyoshonana, Medina, Mpelelezi wa Tume ya Dunia Radia Hosni alipomshusha mchumba wake Fathi Meoki – kipindi akielekea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Carthage (kutokea Uwanja wa Mpira wa El-Manzeh) kumpokea Bosi wa Kanda ya Afrika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia Hussein Kashoggi.

http://www.enockmaregesi.com

No comments:

Post a Comment

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...