Barabara Kuu ya Salina Cruz, Oaxaca; Nicolas Kahima Kankiriho (‘Kahima the
Warrior’) alipopigwa risasi na kukamatwa, alfajiri ya Alhamisi ya tarehe tano,
mwezi wa kumi na moja, mwaka 1992.
http://www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...

Panthera tigrisi ni 'shetani' kabisa, yeye na wenzake, ndiyo maana anapenda kutumia sehemu kama hizo! Halafu hapo ndipo Kahima, mlinzi wa Panthera Tigrisi, alipokimbilia bila kupenda baada ya kukurupushwa na Vijana wa Tume na Polisi wa Oaxaca kutokea baharini!
ReplyDelete