Miwani ya kipelelezi aina ya Aviator (MicroSD, 32GB, GLSun720P) – iliyotumiwa
na makachero wa kike wa Kolonia Santita Giovanna Garcia, Delfina Moore, Amalia
Gonzalez, Mandi Santana na Kamanda wa Makachero wa Kolonia Santita Sonia
Padilla; kuwapeleleza Vijana wa Tume wa Executive Action Corps John Murphy,
Radia Hosni, Daniel Yehuda na Frederik Mogens; Oktoba, 1992.
http://www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...

kwa mtu wa kawaida sio rahisi kugundua kuwa hayo mawani ni ya kipelelezi,na ndio mana makamishina wote wa tume hawakuwagundua makachero wa kolonia santita
ReplyDelete