33. Kama
huwezi kumpenda mtu usimchukie.
http//www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Amani itaweza kupatikana iwapo watu watapendana na kuheshimiana na si kuchukiana na kudharauliana. Huwezi kumpenda kila mtu. Huwezi kumchukia kila mtu. Kwani kila mtu yuko tofauti. Usipomchukia mtu usiyeweza kumpenda utamwona kama mtu wa kawaida na kwa mtazamo huo amani itaweza kudumishwa.
ReplyDeleteKutokumchukia mtu usiyeweza kumpenda ni hekima ya hali ya juu kuweza hata kujaribu kufanya hivyo!
ReplyDeleteUkitaka kumsahau mtu au kitu usimchukie au usikichukie kwa sababu kuchukia kuna nguvu sawa na kupenda.
ReplyDeleteWhen you are loved by so few and hated by so many you should love so many and hate so few.
ReplyDeleteUkimpenda mtu anakuwa moyoni mwako, ukimchukia anakuwa kichwani mwako. Hivyo unaweza kuchanganyikiwa bure, usichukie.
ReplyDelete