Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
 Schiphol-Amsterdam
 Ndege ya John Murphy (Air France) ilipopandikizwa bomu ikiwa njiani 
kulekea Copenhagen.
http//www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Prideux – Roger Prideux – jambazi wa kimataifa wa Kolonia Santita wa St Germain, Paris, Ufaransa; alipewa jukumu la kupeleka bomu lililokuwa na nusu kilo ya baruti na saa ndogo ya 'biometric timer' ndani ya redio ya Toshiba Amsterdam katika uwanja wa Schiphol – sawa na lile lililoangusha ndege ya Pan Am huko Lockerbie, Uingereza mwaka 1988 na kuua watu wote – halafu pia akasafiri na ndege hiyo pamoja na 'Murphy' mpaka Uwanja wa Ndege wa Charles de Gaulle, Paris, Ufaransa; ambapo alishuka na kuacha ndege ya Murphy ikilipuka vibaya futi 31,000 (maili 5) juu ya usawa wa bahari katika anga la Uholanzi/Ujerumani saa 4:42 asubuhi.
ReplyDeleteAlichokifanya Prideux kisingeweza kuvumiliwa hata kidogo. It's fiction, but hata mimi niliumia - watu zaidi ya 200 waliuwawa kwenye ajali hiyo ya ndege iliyosababishwa na psycho Roger Prideux!
ReplyDelete