Monday, 24 December 2012

Yehova

12. Nimebadili utaratibu wangu siku hizi kutokana na maadili ya watoto wetu. Siongei na watoto wangu kuhusu Mungu. Naongea na Mungu kuhusu watoto wangu. Yesu alilipa gharama ya maisha yake kutununua kutoka kwa Shetani. Tumrudie; hususan katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa.

http://www.facebook.com/koloniasantita

5 comments:

  1. Let's escape the tragedies of the moment through the vehicle of prayer.

    ReplyDelete
  2. Quote nzuri. Maadili kwa kweli yameporomoka, nalikubali hilo Maregesi; sio kwa watoto wetu tu, hata kwa sisi watu wazima.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante Barnabas Hosea kwa maoni yako mazuri.

      Delete
  3. Hiyo ni quote nzuri sana. Lakini ningeshauri uongee na watoto pia sio Mungu peke yake, kwani hali sio nzuri sana kimaadili.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Dada Rose nimekupata hapo. Tunahitaji nguvu ya Mungu zaidi kuwarekebisha watoto wetu.

      Delete

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...