12. Nimebadili utaratibu wangu siku hizi kutokana na maadili ya watoto wetu. Siongei na watoto wangu kuhusu Mungu. Naongea na Mungu kuhusu watoto wangu. Yesu alilipa gharama ya maisha yake kutununua kutoka kwa Shetani. Tumrudie; hususan katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...

Let's escape the tragedies of the moment through the vehicle of prayer.
ReplyDeleteQuote nzuri. Maadili kwa kweli yameporomoka, nalikubali hilo Maregesi; sio kwa watoto wetu tu, hata kwa sisi watu wazima.
ReplyDeleteAsante Barnabas Hosea kwa maoni yako mazuri.
DeleteHiyo ni quote nzuri sana. Lakini ningeshauri uongee na watoto pia sio Mungu peke yake, kwani hali sio nzuri sana kimaadili.
ReplyDeleteDada Rose nimekupata hapo. Tunahitaji nguvu ya Mungu zaidi kuwarekebisha watoto wetu.
Delete