254.
 Hebu hili na liwe onyo! Wakati wa kurudi kwa Bwana na Mwokozi wetu 
umekaribia sana, na hatuwezi kulipa gharama za kushindwa kufungua 
mlango! Lazima tuachane na maisha ya anasa ya dunia hii haraka 
iwezekanavyo, na tujifunge kibwebwe kumtafuta Bwana akiwa bado 
anapatikana. 
Yesu anahangaika kufungua mlango wa moyo wako ili aingie, lakini mlango huo unapaswa kufunguliwa kutoka ndani. Fungua mlango wa moyo wako. Akikata tamaa atakwenda zake, na hutamsikia tena.
Yesu anahangaika kufungua mlango wa moyo wako ili aingie, lakini mlango huo unapaswa kufunguliwa kutoka ndani. Fungua mlango wa moyo wako. Akikata tamaa atakwenda zake, na hutamsikia tena.

No comments:
Post a Comment