Monday 2 October 2017

Mahakama ya Umaskini ni Uchawi

245. Mahakama ya umaskini ni mazingaombwe yanayofanyika katika ulimwengu wa roho kwa sababu, hatuna sheria ya uchawi wala maono. Hata hivyo, hakuna mahakama kama mahakama ya mbinguni.

Mahakama ya umaskini ni uchawi. Uchawi ni mazingaombwe yanayofanyika katika ulimwengu wa roho. Haki haitapatikana gizani, itapatikana nuruni.

2 comments:

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...