Alfa Romeo Quadrifoglio ni miongoni mwa magari kadha wa kadha ya kifahari ya Sajini Radia Hosni Ja’far-Saadiq Moustafa El Hadrioui (mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Tunisia) lililotumika kumbeba Radia Hosni, Delfina Moore, Fathi Meoki na Hussein Kashoggi; kabla Radia na Kashoggi hawajasafiri kesho yake kwenda Denmaki na Ginebisau kwa mpangilio huo, Kashoggi akienda Bissau kudhibiti shehena ya madawa ya Kolonia Santita, Radia akienda Copenhagen kuonana na Rais wa Tume ya Dunia Boidin Versnick.
Saturday, 18 March 2017
Alfa Romeo Quadrifoglio
Gari la kifahari la Radia Hosni, mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka 
Tunisia, Alfa Romeo Quadrifoglio, lililotumika kumbeba Radia na mchumba 
wake Fathi Meoki, kutoka katika Uwanja wa Mpira wa El-Manzeh mpaka 
katika lango la Bab el Bahar (Medina, Fathi aliposhuka na kuingia 
madukani) mpaka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Tunis-Carthage 
(jijini Tunis, Radia alipompokea Kiongozi wa Kanda ya Afrika ya 
Kaskazini ya Tume ya Dunia Hussein Kashoggi; na jambazi wa Kolonia 
Santita ‘Giovanna Garcia’). 
Alfa Romeo Quadrifoglio ni miongoni mwa magari kadha wa kadha ya kifahari ya Sajini Radia Hosni Ja’far-Saadiq Moustafa El Hadrioui (mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Tunisia) lililotumika kumbeba Radia Hosni, Delfina Moore, Fathi Meoki na Hussein Kashoggi; kabla Radia na Kashoggi hawajasafiri kesho yake kwenda Denmaki na Ginebisau kwa mpangilio huo, Kashoggi akienda Bissau kudhibiti shehena ya madawa ya Kolonia Santita, Radia akienda Copenhagen kuonana na Rais wa Tume ya Dunia Boidin Versnick.
Alfa Romeo Quadrifoglio ni miongoni mwa magari kadha wa kadha ya kifahari ya Sajini Radia Hosni Ja’far-Saadiq Moustafa El Hadrioui (mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Tunisia) lililotumika kumbeba Radia Hosni, Delfina Moore, Fathi Meoki na Hussein Kashoggi; kabla Radia na Kashoggi hawajasafiri kesho yake kwenda Denmaki na Ginebisau kwa mpangilio huo, Kashoggi akienda Bissau kudhibiti shehena ya madawa ya Kolonia Santita, Radia akienda Copenhagen kuonana na Rais wa Tume ya Dunia Boidin Versnick.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

No comments:
Post a Comment