Wazazi wetu wanajua nini kilitokea kabla na baada ya sisi kuzaliwa!
Wanaona mbele ya maisha yetu kwa sababu hata wao wameyapitia.
Wewe na rais wa nchi: Wewe unajua mambo ya mtaa. Rais wa nchi anajua
mambo ya nchi. Anayejua mambo usiyoyajua ni wa kuogopa kama ukoma.
Tuesday, 8 November 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...

No comments:
Post a Comment