Nikipokea Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Kiafrika, kwa
upande wa Tanzania, kutoka kwa Meneja wa Huduma na Masoko Piyush Nath
wa ALAF (kampuni ya mabati ya Tanzania) katika Ukumbi wa Idara ya Habari
Maelezo tarehe 17 Desemba 2015! Pamoja nami alikuwepo mshindi wa diwani
ya 'Kifaurongo' Christopher Bundala Budebah; Mkuu wa Idara ya Fasihi,
Mawasiliano na Uchapishaji ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt Edith
Lyimo; Profesa Aldin Mutembei; wafanyakazi wa ALAF, na waandishi wa
habari kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari nchini Tanzania.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...
No comments:
Post a Comment