Nikipokea Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Kiafrika, kwa
upande wa Tanzania, kutoka kwa Meneja wa Huduma na Masoko Piyush Nath
wa ALAF (kampuni ya mabati ya Tanzania) katika Ukumbi wa Idara ya Habari
Maelezo tarehe 17 Desemba 2015! Pamoja nami alikuwepo mshindi wa diwani
ya 'Kifaurongo' Christopher Bundala Budebah; Mkuu wa Idara ya Fasihi,
Mawasiliano na Uchapishaji ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt Edith
Lyimo; Profesa Aldin Mutembei; wafanyakazi wa ALAF, na waandishi wa
habari kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari nchini Tanzania.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
-
120. Wakati mwingine tukitaka kutambulika hatuna budi kuweka mbele aibu ya heshima yetu. http://www.enockmaregesi.wordpress.com
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
No comments:
Post a Comment