Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.
ReplyDeleteDhana ya DUNIA NI KIJIJI KIMOJA ni dhana murua ijapokuwa inaweza kuwa na matatizo yake hali kadhalika. Popote ulipo ndipo dunia yako ilipo. Hivyo, ukipabadilisha hapo (au ukibadilikia hapo) umebadilisha dunia (au umeleta mabadiliko katika dunia).
ReplyDelete