100. Mungu alisema tupendane katika shida na raha; Luka 6:27-36. Katika matatizo mpende hasimuyo. Maumivu ya watu hufanana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Mafungu hamsini na moja katika Biblia yanayozungumzia upendo wa kweli: Mwanzo 2:1-25, Zaburi 5:7, Zaburi 23:1-6, Zaburi 34:18, Zaburi 103:1-22, Mithali 3:6, Wimbo Ulio Bora 1:1-17, Mathayo 5:45, Mathayo 7:1-29, Mathayo 19:19, Luka 6:27-28, Luka 6:27-36, Luka 10:1-42, Yohana 3:1-36, Yohana 3:14-19, Yohana 3:16, Yohana 3:16-17, Yohana 13:15, Yohana 13:34-35, Yohana 15:12, Yohana 15:13, Yohana 15:27, Warumi 1:1-32, Warumi 12:1-21, Warumi 12:9-21, 1 Wakorintho 7:1-40, 1 Wakorintho 10:13, 1 Wakorintho 13:1-13, 1 Wakorintho 13:4-7, 1 Wakorintho 16:14, 2 Wakorintho 8:7, Wagalatia 5:22, Waefeso 4:2, Waefeso 5:1-33, Wafilipi 2:2, Wakolosai 3:12-15, 1 Wathesalonike 3:12, 1 Wathesalonike 5:23, Waebrania 13:1, Waebrania 13:1-25, Yakobo 4:7, 1 Petro 2:1-25, 1 Petro 4:8, 1 Yohana 1:7, 1 Yohana 2:1-29, 1 Yohana 3:1-24, 1 Yohana 3:15-16, 1 Yohana 3:16, 1 Yohana 4:7-8, 1 Yohana 4:7-21, 1 Yohana 4:10-11.
ReplyDeleteMaumivu ya matatizo ya yule aliyekukosea hayana tofauti na maumivu ya matatizo ya wewe uliyekosewa. Adui yako (kwa mfano) akifiwa na mke aliyempenda sana, atajisikia vibaya kama utakavyojisikia vibaya kufiwa na mke uliyempenda sana. Kuwa na huruma kwa waliokukosea, wakati wa shida.
ReplyDelete