Monday, 1 September 2014

Hasimuyo

100. Mungu alisema tupendane katika shida na raha; Luka 6:27-36. Katika matatizo mpende hasimuyo. Maumivu ya watu hufanana.


2 comments:

  1. Mafungu hamsini na moja katika Biblia yanayozungumzia upendo wa kweli: Mwanzo 2:1-25, Zaburi 5:7, Zaburi 23:1-6, Zaburi 34:18, Zaburi 103:1-22, Mithali 3:6, Wimbo Ulio Bora 1:1-17, Mathayo 5:45, Mathayo 7:1-29, Mathayo 19:19, Luka 6:27-28, Luka 6:27-36, Luka 10:1-42, Yohana 3:1-36, Yohana 3:14-19, Yohana 3:16, Yohana 3:16-17, Yohana 13:15, Yohana 13:34-35, Yohana 15:12, Yohana 15:13, Yohana 15:27, Warumi 1:1-32, Warumi 12:1-21, Warumi 12:9-21, 1 Wakorintho 7:1-40, 1 Wakorintho 10:13, 1 Wakorintho 13:1-13, 1 Wakorintho 13:4-7, 1 Wakorintho 16:14, 2 Wakorintho 8:7, Wagalatia 5:22, Waefeso 4:2, Waefeso 5:1-33, Wafilipi 2:2, Wakolosai 3:12-15, 1 Wathesalonike 3:12, 1 Wathesalonike 5:23, Waebrania 13:1, Waebrania 13:1-25, Yakobo 4:7, 1 Petro 2:1-25, 1 Petro 4:8, 1 Yohana 1:7, 1 Yohana 2:1-29, 1 Yohana 3:1-24, 1 Yohana 3:15-16, 1 Yohana 3:16, 1 Yohana 4:7-8, 1 Yohana 4:7-21, 1 Yohana 4:10-11.

    ReplyDelete
  2. Maumivu ya matatizo ya yule aliyekukosea hayana tofauti na maumivu ya matatizo ya wewe uliyekosewa. Adui yako (kwa mfano) akifiwa na mke aliyempenda sana, atajisikia vibaya kama utakavyojisikia vibaya kufiwa na mke uliyempenda sana. Kuwa na huruma kwa waliokukosea, wakati wa shida.

    ReplyDelete

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...