94. Mtu anayesema pesa haijampa furaha hana nia ya kusaidia watu.
http://www.facebook.com/koloniasantita 
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Heri kuishi kama maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka, kuliko kusema mbele za watu kwamba pesa haijakupa furaha. Wengi hupata jeuri ya kusema hivyo kutokana na umaskini wa watu wanaowazunguka.
ReplyDeleteMaskini mwenye pesa nyingi ni tajiri bahili. Tajiri mwenye mifuko iliyotoboka ni tajiri badhiri.
ReplyDeleteUkisema pesa haijakupa furaha halafu watu wakakuona unafuja pesa ni unafiki. Badala ya kufuja pesa, toa msaada katika jamii iliyosaidia kukulea ulipokuwa mdogo.
ReplyDeleteMoney may not be able to buy happiness, but it does help you sort out problems, do extravagant things for yourself just to feel good, and help those you love by sheltering them from need. Very soon, when you no longer fall prey to financial worries, you will become someone who is much more serene, fulfilled, and open.
ReplyDelete