Sunday, 20 April 2014
Pasaka
Ikiwa kuna tumaini kwa mti uliokatwa kuweza kuchipua tena ni lipi kubwa linaloweza kukukatisha tamaa na kuua matumaini ya siku njema zijazo? Palilia ndoto zako kwa imani na kila wakati jione uliumbwa uwe mshindi kwa jina la YESU. Nakutakia Pasaka njema, Baraka, Amani, Furaha na Ushindi katika Damu ya Yesu. Uwe hodari na moyo wa ushujaa! – Mary James Magacha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...
No comments:
Post a Comment