Sunday, 20 April 2014
Pasaka
Ikiwa kuna tumaini kwa mti uliokatwa kuweza kuchipua tena ni lipi kubwa linaloweza kukukatisha tamaa na kuua matumaini ya siku njema zijazo? Palilia ndoto zako kwa imani na kila wakati jione uliumbwa uwe mshindi kwa jina la YESU. Nakutakia Pasaka njema, Baraka, Amani, Furaha na Ushindi katika Damu ya Yesu. Uwe hodari na moyo wa ushujaa! – Mary James Magacha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
No comments:
Post a Comment