53. Tumaini lina nguvu kuliko woga.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Tumaini lina nguvu kuliko woga… Usisimame. Endelea kutembea.
ReplyDeleteUkiwa mwoga hutaweza kujaribu. Ukiwa na tumaini utaweza kujaribu. Penye nia pana njia, wahenga walisema. Ukikutana na simba porini kwa mfano, utakimbia au utasimama? Bora usimame kuliko kukimbia; ukitegemea Mungu atakusaidia. Ukiwa na tumaini hutakuwa mwoga. Tumaini ni injini ya imani...
ReplyDeleteHope will keep you going.
ReplyDeleteUkiwa na hope utaishi kwa amani kidogo kuliko kutokuw ana hope kabisa,ni jambo zuri kuwa na tumaini.
ReplyDeletewe all need to hope in theLord for He brings all good to us and blesses us in so many ways
ReplyDelete