21. Uraibu ni mbaya unapoathiri maisha ya mtu.
www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Ukinywa pombe leo halafu kesho ukashindwa kwenda kazini kwa sababu ya 'hangover', muda umefika wa kuacha pombe.
ReplyDeleteUkibwia unga leo halafu kesho ukashindwa kwenda kazini kwa sababu ya 'hangover', muda umefika wa kuacha unga.
ReplyDeleteKadiri unavyozidi kupanda juu ndivyo utakavyoanguka vibaya.
ReplyDeleteKadiri unavyozidi kutumia madawa ya kulevya ndivyo madhara yake yatakavyokuwa makubwa. Hivyo acha kukingali bado mapema.
ReplyDelete