Gari la Vijana wa Tume walilopewa na Jeshi la Anga la Meksiko kwa makubaliano maalumu na Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, Mercedes Benz, lilivyosambaratishwa na kombora la magaidi wa Kolonia Santita katika barabara ya Mexico City ya Gobernador Ignacio Esteva, karibu na Ubalozi wa Urusi, lilipokuwa njiani kuelekea Álvaro Obregón katika makao makuu ya Kolonia Santita ya kiwanda cha Dongyang Pharmaceuticals. Vijana wa Tume walikuwa na mtoto wa rais wa Meksiko, Debbie Patrocinio Abrego.
http://www.enockmaregesi.wordpress.com 
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

No comments:
Post a Comment