Kitendawili! Kutakuwa na kitendawili cha Kolonia Santita mwaka 2013 kitakachoitwa 'Msimbo wa Kolonia Santita'. Msimbo wa Kolonia Santita ndicho kitu pekee kinachoitofautisha 'Kolonia Santita' na vitabu vingine vyote vya riwaya DUNIANI! Kutakuwa na zawadi ya shilingi (za Kitanzania) milioni moja kwa yoyote atakayekitegua ndani ya miezi sita kuanzia tarehe 8/7/2013.
Read between the lines to get the message below the surface. Soma kwa makini kupata ujumbe uliojificha!
www.enockmaregesi.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
-
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
-
Kolonia Santita ni shirika la madawa ya kulevya ( drug cartel ). Panthera Tigrisi ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya, katili kuliko ...
-
Mercury Cougar ya John Murphy aliyonunua mwaka 1990 kwa gharama kubwa huko Michigan nchini Marekani. Gari hilo lililorekebishwa kwa ajili ...
Nitakuwa tayari hata mimi Maregesi.
ReplyDeleteAsante, Hosea.
ReplyDelete