190. Hatumtaki kiongozi anayeishi katika mifuko ya mafisadi, tunamtaka 
kiongozi anayeishi katika ibara za katiba ya nchi. Kitambi bila Yesu ni 
jipu.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

Ukiwa na Yesu hutaishi kwa kutegemea rushwa, bali utaishi kwa kutegemea sheria. Ukiishi kwa kutegemea rushwa, rushwa itaishi kwa kukutegemea wewe.
ReplyDelete“Rushwa ni dhambi, rushwa ni adui wa haki na hudidimiza taifa. Usishawishi, usitoe wala usipokee rushwa.” –Tanzania
ReplyDelete