Falsafa za Enock Maregesi zitaendelea, lakini baada ya wiki kumi na sita kuanzia Jumatatu ya wiki iliyopita, mpaka kitabu kipya (kitakachoitwa kwa Kiswahili 'Falsafa za Enock Maregesi: Nukuu za Nyakati Zetu', au kwa Kiingereza 'The Wit and Wisdom of Enock Maregesi: A Book of Quotations', msingi wa maandishi ya Enock Maregesi) kitakapochapishwa.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

No comments:
Post a Comment