125. Kikwazo kikubwa cha kwenda mbinguni ni kifo!
http://www.enockmaregesi.wordpress.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...

-
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
-
Uwanja wa Ndege wa Copenhagen-Roskilde: uliotumiwa na Tume ya Dunia na Kolonia Santita kwa pamoja – kilometa tisa kutoka katika Kanisa ...
Kikwazo kikubwa cha kwenda mbinguni ni kifo. Kikwazo kikubwa cha kwenda ahera ni uzima wa milele. Kikwazo kikubwa cha kwenda mbinguni ni Shetani. Kikwazo kikubwa cha kwenda ahera ni Yesu Kristo. Yesu Kristo ni njia iliyo huru ya kwenda mbinguni. Shetani ni njia iliyo huru ya kwenda ahera.
ReplyDeleteKufanikiwa katika maisha lazima kitu fulani ambacho si cha kawaida kitokee katika maisha yako, bila kujali uko upande wa Yesu au upande wa Shetani. Kufanikiwa katika maisha ni sawa na kwenda mbinguni, au kuishi mbinguni duniani. Kitu ambacho si cha kawaida kutokea katika maisha yako ni sawa na kifo. Fanya kitu ambacho hujawahi kufanya kupata kitu ambacho hujawahi kupata.
ReplyDelete"The biggest barrier in success is the nightmare – You will have to endure the nightmare to be successful."
ReplyDeleteUkimfuata Yesu Kristo utakwenda mbinguni, baada ya kifo. Ukimfuata Shetani utakwenda ahera, baada ya kifo.
ReplyDeleteKikwazo kikubwa cha kwenda ahera si kifo ni uzima wa milele. Kikwazo kikubwa cha kwenda mbinguni si uzima wa milele ni kifo.
ReplyDeleteCara Gemuk Badan
ReplyDeleteObat Gemuk
Vimax Original
Obat Kuat Pria
Vibrator sex
Alat Bantu Sex
Obat Kuat
Pembesar Penis
Pemutih Kulit Alami
Viagra
Pelangsing Badan
cara Menghilangkan Tato
Cara Diet Alami
Obat Vimax
Vimax Asli
penghapus tato
Lintah Papua
Cara memperbesar penis
Crystal X
Cara Kembali Perawan
Penghilang tato
Cara cepat hamil